Swali: Mwenye kwenda safari na wakawa na kuzuizi hajui lini atarejea; kuna uwezekano wa 50% kuwa atarudi na akaswali na wengine wenye hali kama yake ambapo wakafupisha na kukusanya swalah. Lakini baadaye kizuizi kikaondoka na wakarejea.
Jibu: Hapana, aswali Rak´ah nne, kwa sababu ni safari isiyokuwa na uhakika.
Swali: Wairudi swalah yao?
Jibu: Ndio hivyo. Waswali Rak´ah nne.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23259/حكم-قصر-الصلاة-للمتردد-في-السفر
- Imechapishwa: 14/12/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket