Swali: Mwenye kwenda safari na wakawa na kuzuizi hajui lini atarejea; kuna uwezekano wa 50% kuwa atarudi na akaswali na wengine wenye hali kama yake ambapo wakafupisha na kukusanya swalah. Lakini baadaye kizuizi kikaondoka na wakarejea.
Jibu: Hapana, aswali Rak´ah nne, kwa sababu ni safari isiyokuwa na uhakika.
Swali: Wairudi swalah yao?
Jibu: Ndio hivyo. Waswali Rak´ah nne.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23259/حكم-قصر-الصلاة-للمتردد-في-السفر
- Imechapishwa: 14/12/2023
Swali: Mwenye kwenda safari na wakawa na kuzuizi hajui lini atarejea; kuna uwezekano wa 50% kuwa atarudi na akaswali na wengine wenye hali kama yake ambapo wakafupisha na kukusanya swalah. Lakini baadaye kizuizi kikaondoka na wakarejea.
Jibu: Hapana, aswali Rak´ah nne, kwa sababu ni safari isiyokuwa na uhakika.
Swali: Wairudi swalah yao?
Jibu: Ndio hivyo. Waswali Rak´ah nne.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23259/حكم-قصر-الصلاة-للمتردد-في-السفر
Imechapishwa: 14/12/2023
https://firqatunnajia.com/safari-isiyokuwa-na-uhakika/