Swali: Ni ipi hukumu ya kuvaa saa zilizopakwa dhahabu nyeupe?
Jibu: Saa zilizotiwa dhahabu kwa wanawake zinafaa na ni haramu kwa wanamme. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameharamisha dhahabu kwa wanamme.
Kuhusiana na dhahabu nyeupe, mimi sijui kama kuna dhahabu nyeupe. Dhahabu zote zinakuwa na rangi ya dhahabu. Lakini pengine muulizaji analenga fedha. Fedha haitokani na dhahabu. Inafaa kutumia fedha pale ambapo haifai kutumia dhahabu, kama vile pete na vyenginevo.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/108)
- Imechapishwa: 10/05/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kuvaa saa zilizopakwa dhahabu nyeupe?
Jibu: Saa zilizotiwa dhahabu kwa wanawake zinafaa na ni haramu kwa wanamme. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameharamisha dhahabu kwa wanamme.
Kuhusiana na dhahabu nyeupe, mimi sijui kama kuna dhahabu nyeupe. Dhahabu zote zinakuwa na rangi ya dhahabu. Lakini pengine muulizaji analenga fedha. Fedha haitokani na dhahabu. Inafaa kutumia fedha pale ambapo haifai kutumia dhahabu, kama vile pete na vyenginevo.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/108)
Imechapishwa: 10/05/2021
https://firqatunnajia.com/saa-zilizotiwa-dhahabu-kwa-wanamme-na-wanawake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)