Swali: Ruqyah ya Kishari´ah inasomwa mara ngapi? Lini inasomwa; usiku au mchana na ni ipi nyakati bora katika hizo? Je, inasomwa siku ya Ijumaa pekee au katika siku zingine pia za wiki?
Jibu: Ruqyah ya Kishari´ah inasomwa wakati wowote. Itategemea na haja. Haina wakati maalum. Mtu anasomewa pale anapoihitajia. Haina siku maalum, si Ijumaa wala siku nyingine.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1431-08-08.MP3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket