Swali: Ni ipi hukumu ya kula kwa kusimama?
Jibu: Hapana vibaya kula na kunywa kwa kusimama. Hata hivyo bora ni kwa kuketi chini.
Swali: Unakusudia kula peke yake?
Jibu: Kukaa ndio bora zaidi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23333/ما-حكم-الاكل-قاىما
- Imechapishwa: 28/12/2023
Swali: Ni ipi hukumu ya kula kwa kusimama?
Jibu: Hapana vibaya kula na kunywa kwa kusimama. Hata hivyo bora ni kwa kuketi chini.
Swali: Unakusudia kula peke yake?
Jibu: Kukaa ndio bora zaidi.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23333/ما-حكم-الاكل-قاىما
Imechapishwa: 28/12/2023
https://firqatunnajia.com/ruhusa-kula-na-kunywa-kwa-kusimama-lakini-bora-ni-kuketi-chini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)