Swali: Mtu akikusanya kati ya wudhuu´ na josho pengine akagusa tupu yake baada ya kutawadha.

Jibu: Asiguse. Atambe kabla na inatosha. Atambe na aoshe sehemu zake za siri kabla. Kisha bora atawadhe hapo kabla wudhuu´ wa swalah. Ikiwa hakutawadha na akanuia josho na wudhuu´ vyote kwa pamoja inasihi kwa mujibu wa jopo la wanazuoni. Kwa maana nyingine hadathi ndogo inaingia katika hadathi kubwa.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23335/ما-كيفية-الجمع-بين-الوضوء-والغسل
  • Imechapishwa: 28/12/2023