Swali: Kuna mtu alihiji mwaka jana na wala hakufanya ile Say´ ya wajibu. Je, aitekeleze mwaka unaokuja?
Jibu: Hapana, aharakishe kuifanya. Aende Makkah na atekeleze ile Say´ ya lazima. Anatakiwa kuharakisha kufanya hivo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (37)
- Imechapishwa: 29/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)