Rudi Makkah haraka sana

Swali: Kuna mtu alihiji mwaka jana na wala hakufanya ile Say´ ya wajibu. Je, aitekeleze mwaka unaokuja?

Jibu: Hapana, aharakishe kuifanya. Aende Makkah na atekeleze ile Say´ ya lazima. Anatakiwa kuharakisha kufanya hivo.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (37)
  • Imechapishwa: 29/07/2023