Swali 563: Nilimuuliza kama ambaye amemfananisha mkewe na mama yake anafaa kufanya na mkewe mambo ya kimapenzi kabla ya kutoa kafara?
Jibu: Hapana, dhahiri ni kuwa hairuhusiwi. Isitoshe jengine ni kwamba kufanya naye mambo ya kimapenzi ni njia inayoelekea kwenye tendo la ndoa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 194
- Imechapishwa: 12/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)