Swali: Allaah (Ta´ala) amesema:
مِّن قَبْلِ أَن يَتَمَاسَّا
”… kabla ya kugusana.”[1]
Je, kilichokusudiwa hapa ni jimaa peke yake kwa maana ya kwamba inafaa kwake kuchanganyika naye lakini asifanye naye tendo la ndoa au amekatazwa yote mawili?
Jibu: Kilichokusudiwa ni jimaa. Kuchanganyika naye ni njia inayopelekea huko. Kwa hivyo anatakiwa kujiepusha kufanya hivo. Ni kwa njia ya kuchukua tahadhari.
[1] 58:04
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (40)
- Imechapishwa: 12/05/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)