Jimaa nyingi mchana wa Ramadhaan – mtu anatoa kafara vipi?

Swali: Mwanamme amemjamii mke wake mchana wa Ramadhaan mara nyingi kabla ya kutoa kafara. Je, itatosha kutoa kafara moja au kafara kwa kila jimaa?

Jibu: Ikiwa alilala naye mara nyingi katika siku moja, atatoa tu kafara moja. Lakini kama alifafanya hivo masiku mbalimbali, basi kila siku ina kafara yake.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (40)
  • Imechapishwa: 12/05/2023