Swali: Je, kuna rehema iliyoumbwa na 99 haikuumbwa?
Jibu: Zote 100 zimeumbwa:
”Allaah ameumba rehema 100.”
Hata hivyo rehema ambayo anaelezwa nayo Allaah sio kiumbe. Ni sifa Yake (Subhaanahu wa Ta´ala). Kuhusu rehema hii ni rehema nyingine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24464/هل-الرحمة-منها-مخلوقة-وغير-مخلوقة
- Imechapishwa: 17/10/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket