Swali: Ni ipi hukumu ya swawm ya mtu ambaye ameanza kufunga na Saudi Arabia kisha akasafiri katika nchi ambayo mwezi ulichelewa kuanza. Je, afunge siku 31?
Jibu: Ndio, afunge pamoja nao. Afunge na afungue pamoja nao hata kama masiku yataongezeka. Ni mwenye kupewa udhuru; afunge na kufungua pamoja nao.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/audios/794/فتاوى-رمضانية
- Imechapishwa: 16/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
