Swali: Je, inafaa kuswali Rak´ah nne baada ya ´Aswr kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliziswali baadhi ya nyakati? Inafaa kwa mwingine kuziswali?
Jibu: Hapana, hizi ni maalum kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Allaah amrehemu mwenye kuswali [Rak´ah] nne kabla ya ´Aswr.”
Kuhusu baada yake haifai. Hizo ni miongoni mwa mambo maalum yanayomuhusu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22314/حكم-التنفل-بعد-صلاة-العصر
- Imechapishwa: 04/02/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)