Swali: Je, ni Sunnah kuswali Rak´ah mbili hizi alizoswali Khubayb kabla ya kufa kwake?
Jibu: Hapana shaka kwamba zinapendeza. Anamalizia maisha yake kwa swalah. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuzipinga na haikutufikia kuwa alizipinga. Khubayb aliziswali na zikatangaa.
Swali: Anayeuliwa kwa dhuluma?
Jibu: Ni vizuri akiwahi kuswali Rak´ah mbili. Anayamaliza maisha yake kwa swalah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23614/حكم-الركعتين-اللتين-صلاهما-خبيب-قبل-موته
- Imechapishwa: 29/02/2024
Swali: Je, ni Sunnah kuswali Rak´ah mbili hizi alizoswali Khubayb kabla ya kufa kwake?
Jibu: Hapana shaka kwamba zinapendeza. Anamalizia maisha yake kwa swalah. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuzipinga na haikutufikia kuwa alizipinga. Khubayb aliziswali na zikatangaa.
Swali: Anayeuliwa kwa dhuluma?
Jibu: Ni vizuri akiwahi kuswali Rak´ah mbili. Anayamaliza maisha yake kwa swalah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23614/حكم-الركعتين-اللتين-صلاهما-خبيب-قبل-موته
Imechapishwa: 29/02/2024
https://firqatunnajia.com/rakah-mbili-kabla-ya-kufa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)