Swali: Je, inatosha baada ya kumaliza kuswali ´Ishaa mtu akaswali Sunnah ya Raatibah na Rak´ah moja ya Witr peke yake au ni lazima aswali Rak´ah mbili za shufwa pamoja na Witr?
Jibu: Kuswali shufwa kabla ya Witr ndio bora zaidi kuliko mtu kuswali Witr peke yake. Rak´ah mbili za Raatibah ya ´Ishaa hazitoshelezi kutokamana na [Rak´ah mbili za] shufwa. Hata hivyo hapana vibaya kuswali Witr Rak´ah moja.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
´Abdul-´Aziyz Aalish-Shaykh
Bakr Abu Zayd
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alifta.gov.sa/Ar/IftaContents/Pages/FatawaDetails.aspx?View=Page&PageID=12225&CultStr=ar&PageNo=1&NodeID=1&BookID=3
- Imechapishwa: 16/04/2022
Swali: Je, inatosha baada ya kumaliza kuswali ´Ishaa mtu akaswali Sunnah ya Raatibah na Rak´ah moja ya Witr peke yake au ni lazima aswali Rak´ah mbili za shufwa pamoja na Witr?
Jibu: Kuswali shufwa kabla ya Witr ndio bora zaidi kuliko mtu kuswali Witr peke yake. Rak´ah mbili za Raatibah ya ´Ishaa hazitoshelezi kutokamana na [Rak´ah mbili za] shufwa. Hata hivyo hapana vibaya kuswali Witr Rak´ah moja.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin Ghudayyaan
Swaalih al-Fawzaan
´Abdul-´Aziyz Aalish-Shaykh
Bakr Abu Zayd
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.alifta.gov.sa/Ar/IftaContents/Pages/FatawaDetails.aspx?View=Page&PageID=12225&CultStr=ar&PageNo=1&NodeID=1&BookID=3
Imechapishwa: 16/04/2022
https://firqatunnajia.com/raatibah-ya-ishaa-inaweza-kukaa-mahali-pa-shufwa-kabla-ya-witr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)