Swali: Nikimnasihi Raafidhwiy kazini na asiitikie na akasema kuwa yeye hafanyi mambo hayo [wanayofanya Shiy´ah wengine ya kikafiri] na ukafika wakati wa swalah na asiswali aamrishwe kuswalii au aachwe na ataamiliwe matangamano ya makafiri?
Jibu: Hapana. Anatakiwa aamrishwe kwa kuwa amedai kuwa ni muislamu. Ni wajibu kumchukia na kumjengea uadui kwa ajili ya Allaah. Anatakiwa kuamrishwa na kuambiwa aswali.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 86
- Imechapishwa: 14/12/2016
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket