Swali: Nikimnasihi Raafidhwiy kazini na asiitikie na akasema kuwa yeye hafanyi mambo hayo [wanayofanya Shiy´ah wengine ya kikafiri] na ukafika wakati wa swalah na asiswali aamrishwe kuswalii au aachwe na ataamiliwe matangamano ya makafiri?
Jibu: Hapana. Anatakiwa aamrishwe kwa kuwa amedai kuwa ni muislamu. Ni wajibu kumchukia na kumjengea uadui kwa ajili ya Allaah. Anatakiwa kuamrishwa na kuambiwa aswali.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 86
- Imechapishwa: 14/12/2016
Swali: Nikimnasihi Raafidhwiy kazini na asiitikie na akasema kuwa yeye hafanyi mambo hayo [wanayofanya Shiy´ah wengine ya kikafiri] na ukafika wakati wa swalah na asiswali aamrishwe kuswalii au aachwe na ataamiliwe matangamano ya makafiri?
Jibu: Hapana. Anatakiwa aamrishwe kwa kuwa amedai kuwa ni muislamu. Ni wajibu kumchukia na kumjengea uadui kwa ajili ya Allaah. Anatakiwa kuamrishwa na kuambiwa aswali.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 86
Imechapishwa: 14/12/2016
https://firqatunnajia.com/raafidhwiy-kazini-anadai-uislamu-lakini-haswali/