Jipime maarifa yako kuhusu twahara na swalah

Chemsha Bongo ya twahara na swalah 04

15:00

Ni ipi hukumu ya kufanya manuizi kwa kutamka kwa sauti kavla ya swalah?

Kuna udhuru gani wa mwanaume kuacha kuswali mkusanyiko msikitini?

Unachenguka wudhuu wa ambaye amekula nyamafu?

Lini unamalizika muda wa Dhuhaa?

Swalah ni nguzo ya ngapi katika zile nguzo tano za Uislamu?

Ni lini mwisho wa wakati wa swalah ya Ishaa?

Kuanza kwa Ramadhaan kunathibiti kwa ushahidi wa watu wangapi waadilifu?

Je, ipi hukumu ya kutaja jina la Allaah kabla ya kuanza kutawadha?

Ni ipi hukumu ya ambaye amekumbuka swalah aliyokosa baada ya siku 2?

Lini unaanza wakati wa kuswali Dhuhaa na ina Rakah ngapi?

Je, swalah inasihi nyuma ya imamu mnyoa ndevu?

Swalah ya Dhuhr ina Sunnah (Rawaatib) ngapi kabla na baada yake?

Kila ambaye inafaa kukusanya swalah anatakiwa vilevile kufupisha swalah?

Ni sahihi msemo unaosema kwamba Sutrah ya imamu ni Sutrah ya maamuma?

Ni kipi katika haya ni mojawapo ya nguzo za swalah?

Ni ipi katika hizi ni swalah ya kuomba kuteremshiwa mvua?

Ni lini mtoto huanza kuamrishwa kuswali?

Ni lini inaswaliwa Sunnah (Raatibah) ya kabla ya Fajr?

Ni ipi hukumu ya kuswali nyuma ya imamu unayemjua anapiga rimli (mganga)?

Nani anayetangulizwa mbele kuwa imamu kati ya aliyehifadhi mvuta sigara na anavaa isbaal na mwingine amehifadhi kiasi lakini anafuata Sunnah?

Vipi kuswali kitambo kidogo kabla ya kuingia wakati wa swalah?

Ni ipi katika hizi ni swalah ya kuomuomba Allaah mwongozo (ushauri) wakati unaposhindwa kuamua moja katika mambo mawili?