Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya punyeto kwa bikira na ambaye kishaoa? Ni ipi njia bora kwa mtu kuachana nalo?
Jibu: Haijuzu kufanya punyeto, sawa kwa ambaye kishaoa na kwa ambaye hajaoa. Ni haramu. Amesema (Jalla wa ´Alaa):
وَالَّذِينَ هُمْ لِفُرُوجِهِمْ حَافِظُونَ إِلَّا عَلَىٰ أَزْوَاجِهِمْ أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُهُمْ فَإِنَّهُمْ غَيْرُ مَلُومِينَ
“Na ambao wanazihifadhi tupu zao, isipokuwa kwa wake zao au kwa iliyowamiliki mikono yao ya kuume, basi hao hawalaumiwi.” (23:05-06)
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13379
- Imechapishwa: 24/06/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya punyeto kwa bikira na ambaye kishaoa? Ni ipi njia bora kwa mtu kuachana nalo?
Jibu: Haijuzu kufanya punyeto, sawa kwa ambaye kishaoa na kwa ambaye hajaoa. Ni haramu. Amesema (Jalla wa ´Alaa):
وَالَّذِينَ هُمْ لِفُرُوجِهِمْ حَافِظُونَ إِلَّا عَلَىٰ أَزْوَاجِهِمْ أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُهُمْ فَإِنَّهُمْ غَيْرُ مَلُومِينَ
“Na ambao wanazihifadhi tupu zao, isipokuwa kwa wake zao au kwa iliyowamiliki mikono yao ya kuume, basi hao hawalaumiwi.” (23:05-06)
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13379
Imechapishwa: 24/06/2020
https://firqatunnajia.com/punyeto-katika-uislamu-ni-haramu/