Swali: Mwenye kukumbuka baada ya swalah kuwa amekula nyama ya ngamia ni lazima arudi kuswali?
Jibu: Ndio, kwa kuwa wudhuu wake umetenguka kwa kula nyama ya ngamia. Aliulizwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kama mtu anatakiwa kutawadha kwa kula nyama ya ngamia ambapo akajibu kwa kusema:
“Ndio.”
Akikumbuka kuwa ameswali na hakutawadha baada ya kula nyama ya ngamia anatakiwa kutawadha tena na kuirudi swalah yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13379
- Imechapishwa: 24/06/2020
Swali: Mwenye kukumbuka baada ya swalah kuwa amekula nyama ya ngamia ni lazima arudi kuswali?
Jibu: Ndio, kwa kuwa wudhuu wake umetenguka kwa kula nyama ya ngamia. Aliulizwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kama mtu anatakiwa kutawadha kwa kula nyama ya ngamia ambapo akajibu kwa kusema:
“Ndio.”
Akikumbuka kuwa ameswali na hakutawadha baada ya kula nyama ya ngamia anatakiwa kutawadha tena na kuirudi swalah yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13379
Imechapishwa: 24/06/2020
https://firqatunnajia.com/baada-ya-kuswali-amekumbuka-amekula-nyama-ya-ngamia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)