Swali: Je, inajuzu kwa mtu kuzungumza na rafiki yake ikiwa pembezoni mwoa kuna ambaye anasoma Qur-aan kwa sauti ya kusikika?
Jibu: Ikiwa wanashawishana… Msomaji asipaze sauti yake na kumshawishi aliye pembezoni mwake na kadhalika wenye kuzungumza wasipaze sauti zao na kuwashawishi wenye kuswali, wenye kusoma Qur-aan na wenye kufanya Dhikr walio pembezoni mwao.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13379
- Imechapishwa: 24/06/2020
Swali: Je, inajuzu kwa mtu kuzungumza na rafiki yake ikiwa pembezoni mwoa kuna ambaye anasoma Qur-aan kwa sauti ya kusikika?
Jibu: Ikiwa wanashawishana… Msomaji asipaze sauti yake na kumshawishi aliye pembezoni mwake na kadhalika wenye kuzungumza wasipaze sauti zao na kuwashawishi wenye kuswali, wenye kusoma Qur-aan na wenye kufanya Dhikr walio pembezoni mwao.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13379
Imechapishwa: 24/06/2020
https://firqatunnajia.com/kuzungumza-mahali-ambapo-watu-wanasoma-qur-aan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)