Swali: Kuna mtu alikuja kumposa dada yangu. Mtu huyo hahifadhi swalah na anavuta sigara. Baba yangu amekubaliana na jambo hilo isipokuwa tu mimi sikukubaliana naye. Ni zipi nasaha zako?
Jibu: Kipi kilichobaki ikiwa hachungi swalah? Usimamizi ni wa baba yako na hauko kwako. Ikiwa hachungi swalah basi nendeni mahakamani ambapo watamvua usimamizi baba na watauhamisha kwa aliye baa yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
- Imechapishwa: 25/02/2022
Swali: Kuna mtu alikuja kumposa dada yangu. Mtu huyo hahifadhi swalah na anavuta sigara. Baba yangu amekubaliana na jambo hilo isipokuwa tu mimi sikukubaliana naye. Ni zipi nasaha zako?
Jibu: Kipi kilichobaki ikiwa hachungi swalah? Usimamizi ni wa baba yako na hauko kwako. Ikiwa hachungi swalah basi nendeni mahakamani ambapo watamvua usimamizi baba na watauhamisha kwa aliye baa yake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (30)
Imechapishwa: 25/02/2022
https://firqatunnajia.com/posa-ya-ambaye-anapuuza-swalah/