Imamu akipatwa na hadathi basi anaweza kuchagua moja katika yafuatayo:
1 – Akiwa karibu na mahali pa kutawadha, basi awaashirie watu wabaki katika swalah yao kama walivyo kisha yeye atatawadha, atarudi na atajengea pale alipokomea.
2 – Lisipowezekana jambo hilo, atamuashiria mmoja nyuma yake ashike nafasi yake ili awakamishie swalah yao.
3 – Kila mmoja akamilishe swalah yake kivyake.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 141
- Imechapishwa: 02/07/2022
Imamu akipatwa na hadathi basi anaweza kuchagua moja katika yafuatayo:
1 – Akiwa karibu na mahali pa kutawadha, basi awaashirie watu wabaki katika swalah yao kama walivyo kisha yeye atatawadha, atarudi na atajengea pale alipokomea.
2 – Lisipowezekana jambo hilo, atamuashiria mmoja nyuma yake ashike nafasi yake ili awakamishie swalah yao.
3 – Kila mmoja akamilishe swalah yake kivyake.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 141
Imechapishwa: 02/07/2022
https://firqatunnajia.com/pindi-unapochenguka-wudhuu-wa-imamu/