Swali: Hali ya Tarawiyh inakuweje pindi kunapokusanywa kati ya Maghrib na ´Ishaa katika Ramadhaan?
Jibu: Itaswaliwa baada ya ´Ishaa. Maghrib ikikusanywa na ´Ishaa katika wakati wa Maghrib kutaswaliwa Tarawiyh [baada yake]. Ikiwa ni ndani ya Ramadhaan wakati wa swalah ya Tarawiyh, Raatibah ya ´Ishaa, Sunnah ya Maghrib na Sunnah ya ´Ishaa ataziswali baada ya ´Ishaa. Hapana neno pia akileta Witr kwa sababu Witr na Tahajjud inakuwa baada ya ´Ishaa.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/audios/794/فتاوى-رمضانية
- Imechapishwa: 01/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)