Swali: Je, adhaana ni faradhi yenye kutosheleza kwa mkusanyiko au kwa watu wote wa mji?
Jibu: Ni faradhi yenye kutosheleza kwa kila upande muda wa kuwa hawasikii adhaana ya mwengine. Kila upande walipo na msikiti ni faradhi yenye kutosheleza kwao. Lakini ikiwa muadhini anawasikilizisha watu wote itatosha. Katika hali hiyo kwa wengine itakuwa ni jambo linalopendeza. Ikiwa muadhini ana sauti ya kuweza kuwasikilizisha watu wote basi kwa wengine itakuwa inapendeza.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22547/هل-الاذان-فرض-على-كل-بلد-ام-كل-مسجد
- Imechapishwa: 16/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)