Swali: Nina picha za watoto wangu kwenye simu ya mkononi. Je, inajuzu?
Jibu: Haijuzu kuhifadhi picha kwa ajili ya kumbukumbu au kitu kingine. Inajuzu kuhifadhi picha kwa ajili tu ya dharurah ya maisha yako. Kuhusiana na picha kwa ajili mtu anapenda, sanaa au kumbukumbu haijuzu. Ni wajibu kuziharibu. Usiache picha isipokuwa umeiharibu, kama alivyosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Madjîd (25) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20-%2027-%2012-%201435.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2017
Swali: Nina picha za watoto wangu kwenye simu ya mkononi. Je, inajuzu?
Jibu: Haijuzu kuhifadhi picha kwa ajili ya kumbukumbu au kitu kingine. Inajuzu kuhifadhi picha kwa ajili tu ya dharurah ya maisha yako. Kuhusiana na picha kwa ajili mtu anapenda, sanaa au kumbukumbu haijuzu. Ni wajibu kuziharibu. Usiache picha isipokuwa umeiharibu, kama alivyosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Madjîd (25) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20-%2027-%2012-%201435.mp3
Imechapishwa: 11/02/2017
https://firqatunnajia.com/picha-ya-mtoto-kwenye-simu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)