Swali: Kuna tofauti kati ya kufikiwa na hoja na kuifahamu?
Jibu: Mwenye kufikiwa na hoja na anaweza kuifahamu na anataka kuifahamu, hoja imemsimamia. Lakini dalili ikimfikia kwa lugha isiyokuwa ya kwake na asiifahamu isipokuwa mpake pale atapotarjumiwa nayo, anapewa udhuru mpaka pale atapobainishiwa maana ya Aayah, Hadiyth au maneno ya wanachuoni kwa lugha yake. Ikiwa iko kwa lugha nyingine awekewe wazi na kutarjumiwa.
Kuhusiana na mwarabu na yule mwenye kufahamu lugha ya kiarabu, hoja imemsimamia pale anapofikiwa na Qur-aan, Sunnah au maneno ya wanachuoni.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Madjîd (25) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20-%2027-%2012-%201435.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2017
Swali: Kuna tofauti kati ya kufikiwa na hoja na kuifahamu?
Jibu: Mwenye kufikiwa na hoja na anaweza kuifahamu na anataka kuifahamu, hoja imemsimamia. Lakini dalili ikimfikia kwa lugha isiyokuwa ya kwake na asiifahamu isipokuwa mpake pale atapotarjumiwa nayo, anapewa udhuru mpaka pale atapobainishiwa maana ya Aayah, Hadiyth au maneno ya wanachuoni kwa lugha yake. Ikiwa iko kwa lugha nyingine awekewe wazi na kutarjumiwa.
Kuhusiana na mwarabu na yule mwenye kufahamu lugha ya kiarabu, hoja imemsimamia pale anapofikiwa na Qur-aan, Sunnah au maneno ya wanachuoni.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Madjîd (25) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid%20-%2027-%2012-%201435.mp3
Imechapishwa: 11/02/2017
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-tofauti-kati-ya-kufikiwa-na-dalili-na-kuifahamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket