Swali: Leo picha zimeenea. Je, ni haramu kuchukua picha kwa camera ya simu?
Jibu: Haijuzu kuchukua picha kwa kutumia njia yoyote ile. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza mapicha na amewalaani watengeneza picha sawa kwa njia yoyote ile. Kinachozingatiwa sio ile njia inayotumiwa. Kinachozingatiwa ni kule kupatikana kwa picha. Haijuzu. Isipokuwa kama kuna dharurah kwa mfano kitambulisho, pasipoti na leseni. Haya ni dharurah na hayana neno. Ama mapicha kwa njia ya sanaa au mengineyo, haijuzu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2025-12-1435.mp3
- Imechapishwa: 16/06/2015
Swali: Leo picha zimeenea. Je, ni haramu kuchukua picha kwa camera ya simu?
Jibu: Haijuzu kuchukua picha kwa kutumia njia yoyote ile. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza mapicha na amewalaani watengeneza picha sawa kwa njia yoyote ile. Kinachozingatiwa sio ile njia inayotumiwa. Kinachozingatiwa ni kule kupatikana kwa picha. Haijuzu. Isipokuwa kama kuna dharurah kwa mfano kitambulisho, pasipoti na leseni. Haya ni dharurah na hayana neno. Ama mapicha kwa njia ya sanaa au mengineyo, haijuzu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2025-12-1435.mp3
Imechapishwa: 16/06/2015
https://firqatunnajia.com/picha-kwa-njia-yoyote-ile-haijuzu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)