Swali: Je, unashauri mtu kutazama na kuchuma faida ya vipindi vya TV ambapo Shiy´ah wanajadiliana na Ahl-us-Sunnah?
Jibu: Ni nani anayejadiliana nao? Ni wanachuoni? Au ni wenye hamasa tu juu ya dini lakini hawana elimu? Kisha baadaye wanakuja kuwashinda. Hili ndio tatizo. Ikiwa ni wanachuoni tu ndio wanaojadiliana nao, ni vizuri.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2025-12-1435.mp3
- Imechapishwa: 16/06/2015
Swali: Je, unashauri mtu kutazama na kuchuma faida ya vipindi vya TV ambapo Shiy´ah wanajadiliana na Ahl-us-Sunnah?
Jibu: Ni nani anayejadiliana nao? Ni wanachuoni? Au ni wenye hamasa tu juu ya dini lakini hawana elimu? Kisha baadaye wanakuja kuwashinda. Hili ndio tatizo. Ikiwa ni wanachuoni tu ndio wanaojadiliana nao, ni vizuri.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2025-12-1435.mp3
Imechapishwa: 16/06/2015
https://firqatunnajia.com/ni-nani-anayetakiwa-kufanya-mijadala-na-raafidhwah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)