Swali: Tumekusikia ukisema kuwa ambaye hakatazi maovu kwa moyo wake hana imani yoyote. Je, anakuwa kafiri? Hili ni kuhusu maovu yote au ovu moja tu?
Jibu: Ambaye hakatazi maovu kwa moyo wake hana imani yoyote. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndiye kasema hivo:
”Na hakuna nyuma ya hilo imani yoyote sawa na punje ya hardali.”[1]
Usipekue kaisi cha imani yake. Haifai kupekua na kudharau Hadiyth za makemeo. Pengine hana imani kabisa – Allaah ndiye anayejua zaidi.
[1] Muslim (50).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (05)
- Imechapishwa: 20/02/2024
Swali: Tumekusikia ukisema kuwa ambaye hakatazi maovu kwa moyo wake hana imani yoyote. Je, anakuwa kafiri? Hili ni kuhusu maovu yote au ovu moja tu?
Jibu: Ambaye hakatazi maovu kwa moyo wake hana imani yoyote. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndiye kasema hivo:
”Na hakuna nyuma ya hilo imani yoyote sawa na punje ya hardali.”[1]
Usipekue kaisi cha imani yake. Haifai kupekua na kudharau Hadiyth za makemeo. Pengine hana imani kabisa – Allaah ndiye anayejua zaidi.
[1] Muslim (50).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ta´liyqaat ´alaa Risaalah wujuub-il-´Amr bil-Ma´ruuf wan-Nahiy ´an al-Munkar (05)
Imechapishwa: 20/02/2024
https://firqatunnajia.com/pengine-hana-imani-kabisa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)