Swali: Je, inafaa kufanya operesheni ya kurudisha mkono wa bandia unapokatwa baada ya kuiba?
Jibu: Hapana. Ni vipi utakatwa kisha urudishiwe? Haurudishwi. Allaah amemfedhehesha na nyinyi mnataka kuurudisha?
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (46)
- Imechapishwa: 11/08/2024
Swali: Je, inafaa kufanya operesheni ya kurudisha mkono wa bandia unapokatwa baada ya kuiba?
Jibu: Hapana. Ni vipi utakatwa kisha urudishiwe? Haurudishwi. Allaah amemfedhehesha na nyinyi mnataka kuurudisha?
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (46)
Imechapishwa: 11/08/2024
https://firqatunnajia.com/operesheni-ya-kurudisha-mkono-uliyokatwa/