Swali: Dada huyu anauliza hukumu ya kufanya operesheni ya uzuri kwenye kifua chake ikiwa yuko na maradhi fulani?
Jibu: Ikiwa yuko na kasoro mwilini mwake na inawezekana ikatibiwa na kuondosha kasoro hii ni sawa kufanya hivi. Hii ni miongoni mwa dawa zenye kuruhusiwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14817
- Imechapishwa: 28/06/2020
Swali: Dada huyu anauliza hukumu ya kufanya operesheni ya uzuri kwenye kifua chake ikiwa yuko na maradhi fulani?
Jibu: Ikiwa yuko na kasoro mwilini mwake na inawezekana ikatibiwa na kuondosha kasoro hii ni sawa kufanya hivi. Hii ni miongoni mwa dawa zenye kuruhusiwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14817
Imechapishwa: 28/06/2020
https://firqatunnajia.com/operesheni-kuondosha-kasoro-mwilini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)