Swali: Ni ipi nasaha yako kwa Ahl-us-Sunnah walioko Oman?
Jibu: Wamche Allaah (Ta´ala). Walinganie katika dini ya Allaah kwa hekima, maneno mazuri na wajadili kwa njia iliokuwa nzuri. Wawafunze watu Sunnah, walinganie katika Sunnah na kuwavutia watu nayo. Kwa kufanya hivo huenda Allaah akamwongoza yule anayemtaka miongoni mwa wale wenye kwenda kinyume.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14817
- Imechapishwa: 28/06/2020
Swali: Ni ipi nasaha yako kwa Ahl-us-Sunnah walioko Oman?
Jibu: Wamche Allaah (Ta´ala). Walinganie katika dini ya Allaah kwa hekima, maneno mazuri na wajadili kwa njia iliokuwa nzuri. Wawafunze watu Sunnah, walinganie katika Sunnah na kuwavutia watu nayo. Kwa kufanya hivo huenda Allaah akamwongoza yule anayemtaka miongoni mwa wale wenye kwenda kinyume.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14817
Imechapishwa: 28/06/2020
https://firqatunnajia.com/nasaha-za-imaam-al-fawzaan-kwa-watu-wa-oman/