Swali: Mtu akiacha ameusia kabla ya kufa kuzikwa kwenye makaburi maalum inatakiwa kutekeleza wasia wake au hapana?
Jibu: Ikiwezekana ni sawa. Ikiwezekana kumpeleka sehemu hiyo ambayo aliacha anausia azikwe ni sawa. Ikiwa haiwezekani azikwe sehemu aliofikia pamoja na waislamu. Azikwe kwenye makaburi ya waislamu na himdi zote ni za Allaah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14817
- Imechapishwa: 28/06/2020
Swali: Mtu akiacha ameusia kabla ya kufa kuzikwa kwenye makaburi maalum inatakiwa kutekeleza wasia wake au hapana?
Jibu: Ikiwezekana ni sawa. Ikiwezekana kumpeleka sehemu hiyo ambayo aliacha anausia azikwe ni sawa. Ikiwa haiwezekani azikwe sehemu aliofikia pamoja na waislamu. Azikwe kwenye makaburi ya waislamu na himdi zote ni za Allaah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14817
Imechapishwa: 28/06/2020
https://firqatunnajia.com/maiti-ameacha-anausia-azikwe-maeneo-fulani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)