Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kupaka rangi nyusi zake na rangi ya nywele zake?
Jibu: Haijuzu. Mwanamke asiziharibu nyusi zake kwa kitu; asizipake rangi, asizichonge na kadhalika. Nyusi zinaachwa kama zilivyoumbwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (25) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ayatquran-26-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 20/06/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kupaka rangi nyusi zake na rangi ya nywele zake?
Jibu: Haijuzu. Mwanamke asiziharibu nyusi zake kwa kitu; asizipake rangi, asizichonge na kadhalika. Nyusi zinaachwa kama zilivyoumbwa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (25) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ayatquran-26-07-1435-01.mp3
Imechapishwa: 20/06/2020
https://firqatunnajia.com/nyusi-zisiharibiwe-kwa-kitu/