Swali: Nataka kumjengea msikiti baba yangu ambaye kishakufa. Bora zaidi ni kumjengea nje ya nchi ili kueneza Tawhiyd au ndani ya Saudi Arabia?
Jibu: Ikiwa inawezekana kujengea Saudi Arabia ni bora zaidi. Saudi Arabia utauona na utauchunga na utakuwa chini ya mamlaka ya waislamu. Ukijenga nje ya nchi hutokuwa na uangalizi juu yake. Ni jambo lisilokuwa na shaka kuwa kujenga msikiti Saudi Arabia ni bora zaidi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (25) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ayatquran-26-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 20/06/2020
Swali: Nataka kumjengea msikiti baba yangu ambaye kishakufa. Bora zaidi ni kumjengea nje ya nchi ili kueneza Tawhiyd au ndani ya Saudi Arabia?
Jibu: Ikiwa inawezekana kujengea Saudi Arabia ni bora zaidi. Saudi Arabia utauona na utauchunga na utakuwa chini ya mamlaka ya waislamu. Ukijenga nje ya nchi hutokuwa na uangalizi juu yake. Ni jambo lisilokuwa na shaka kuwa kujenga msikiti Saudi Arabia ni bora zaidi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (25) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ayatquran-26-07-1435-01.mp3
Imechapishwa: 20/06/2020
https://firqatunnajia.com/jenga-misikiti-ndani-ya-nchi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)