Swali: Baadhi ya wanafunzi wanawakataza watu kuwazungumzia wanaoenda kinyume na mfumo wa Salaf kwa sababu ni waislamu. Wanaotakiwa kuzungumziwa ni makafiri peke yao na kutahadharisha kutokana nao.
Jibu: Hawa ndio wana haki zaidi ya kuzungumziwa. Kwa sababu ni waislamu. Waislamu ndio wana haki zaidi kunasihiwa:
وَأَنذِرْ عَشِيرَتَكَ الْأَقْرَبِينَ
“Na onya jamaa zako wa karibu.” (26:214)
Wao ndio wana haki zaidi kunasihiwa, kuwaidhishwa na kuzinduliwa makosa. Wao ndio wana haki zaidi. Inatakiwa kuanza na wao kwanza.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/eg–14041434.mp3
- Imechapishwa: 27/03/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)