Swali: Je, ni lazima kwa mwanamke kufunika nyayo zake wakati amesujudu ndani ya swalah?
Jibu: Ndio. Anatakiwa kujifunika. Mwanamke mwili wake wote ni uchi ndani ya swalah; isipokuwa ndani ya swalah ikiwa hakuna mbele yake wanamme wasiokuwa Mahaarim. Ikiwa mbele yake kuna wanaume wa kando naye anatakuwa kufunika uso wake pia.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (35)
- Imechapishwa: 28/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)