Swali 32: Walikuwa wangapi kutoka katika Aws na kutoka katika Khazraj?
Jibu: Katika Aws walikuwa wanamme kumi na moja, miongoni mwao wakuu watatu, na katika Khazraj walikuwa sitini na mbili, miongoni mwao wakuu tisa. Kiapo hicho cha utii kilihudhuriwa na al-´Abbaas bin ´Abdil-Muttwalib kwa sababu ya kutaka kuhakikisha juu ya mpwa wake. Baada ya hapo akaidhinisha kuhajiri kwenda Madiynah.
- Mhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 103
- Imechapishwa: 28/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)