Swali: Je, inafaa kula nyama ya mnaswara ambaye nimemsikia akimchinja mnyama kwa jina la Masiyh?
Jibu: Allaah ameihalalisha ingawa anajua kuwa wanasema hivo. Muda wa kuwa Allaah (Jalla wa ´Alaa) amehalalisha, na isitoshe ni kichinjwa cha watu wa Kitabu, ni halali kula. Na ukiacha kwa ajili ya kuchukizwa au uchaji, inafaa kwako kufanya hivo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 19/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)