Swali: Njia za ulinganizi ni kwa mujibu wa Qur-aan au Sunnah (توقيفية) au ni kwa ijtihaad tu ya mtu?
Jibu: Njia za ulinganizi ni kwa ijtihaad tu ya mtu na sio kwa mujibu wa Qur-aan na Sunnah. Ambacho ni kwa mujibu wa Qur-aan na Sunnah ni kuwa na elimu:
قُلْ هَـٰذِهِ سَبِيلِي أَدْعُو إِلَى اللَّـهِ ۚ عَلَىٰ بَصِيرَةٍ أَنَا وَمَنِ اتَّبَعَنِي
“Sema: “Hii ndio njia yangu: nalingania kwa Allaah, juu ya ujuzi na umaizi – mimi na anayenifuata.” (12:108)
Akiwa na elimu basi anaweza kulingania kwa Allaah kwa kuandika, kuongea, kwa simu au kwa njia nyingine yoyote anayoiweza.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23329/هل-وساىل-الدعوة-توقيفية-ام-اجتهادية
- Imechapishwa: 27/12/2023
Swali: Njia za ulinganizi ni kwa mujibu wa Qur-aan au Sunnah (توقيفية) au ni kwa ijtihaad tu ya mtu?
Jibu: Njia za ulinganizi ni kwa ijtihaad tu ya mtu na sio kwa mujibu wa Qur-aan na Sunnah. Ambacho ni kwa mujibu wa Qur-aan na Sunnah ni kuwa na elimu:
قُلْ هَـٰذِهِ سَبِيلِي أَدْعُو إِلَى اللَّـهِ ۚ عَلَىٰ بَصِيرَةٍ أَنَا وَمَنِ اتَّبَعَنِي
“Sema: “Hii ndio njia yangu: nalingania kwa Allaah, juu ya ujuzi na umaizi – mimi na anayenifuata.” (12:108)
Akiwa na elimu basi anaweza kulingania kwa Allaah kwa kuandika, kuongea, kwa simu au kwa njia nyingine yoyote anayoiweza.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23329/هل-وساىل-الدعوة-توقيفية-ام-اجتهادية
Imechapishwa: 27/12/2023
https://firqatunnajia.com/njia-za-ulinganizi-kwa-mtazamo-wa-ibn-baaz/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)