Swali: Nini maana ya kushuka kwa utulivu?
Jibu: Dhahiri ni kwamba ni Malaika anayeitwa Sakiynah, ambaye hukaribia na kushuka wakati anaposikia kheri na wakati wa kusikia Dhikr na baadaye anapanda. Usayd bin Hudhwayr alipomtaja Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) kwamba alikuwa akisoma Qur-aan hali ya kuwa ana farasi na kwamba anawaogopa watoto wake ambapo akamwambia Usayd:
“Utulivu huo ulishuka baada ya kuisikia Qur-aan.”
Alikuwa akiona angani kitu kama taa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/29323/ما-معنى-نزول-السكينة-في-الحديث
- Imechapishwa: 11/07/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket