Swali: Baadhi ya waandishi huanza visa kwa kuandika: “Nimeona usingizini kana kwamba ni kadhaa na kadhaa” kidha ndio anaanza kusimulia kisa.
Jibu: Kinachonidhihirikia ni kwamba haijuzu. Ni miongoni mwa uwongo wa haramu. Uwongo huo sio katika zile aina tatu zinazofaa.
Swali: Kwa hiyo inaingia katika Hadiyth ya Ibn ´Abbaas?
Jibu: Ndio.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23390/حكم-بدء-بعض-القصص-بقول-رايت-في-المنام
- Imechapishwa: 11/01/2024
Swali: Baadhi ya waandishi huanza visa kwa kuandika: “Nimeona usingizini kana kwamba ni kadhaa na kadhaa” kidha ndio anaanza kusimulia kisa.
Jibu: Kinachonidhihirikia ni kwamba haijuzu. Ni miongoni mwa uwongo wa haramu. Uwongo huo sio katika zile aina tatu zinazofaa.
Swali: Kwa hiyo inaingia katika Hadiyth ya Ibn ´Abbaas?
Jibu: Ndio.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23390/حكم-بدء-بعض-القصص-بقول-رايت-في-المنام
Imechapishwa: 11/01/2024
https://firqatunnajia.com/nimeona-usingizini-kadhaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)