Swali: Inatokea kwa watu wengi wakala siku nyingi za Ramadhaan na wasikumbuke idadi ya siku hizo. Maswali kama hayo yanakariri. Ni ipi hukumu ya kitendo hicho?
Jibu: Ni lazima kwa ambaye ana shaka ajitahidi. Akitilia shaka juu ya siku ajitahidi na atendee kazi lile la salama zaidi. Akitilia shaka kati ya siku tatu au nne afanye ni siku nne, akitilia shaka kati ya siku nne au tano afanye siku tano. Achukue tahadhari kwa ajili ya dini yake.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/audios/794/فتاوى-رمضانية
- Imechapishwa: 30/03/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)