Swali 19: Ikiwa mtu amehiji mara nyingi, je, lililo bora ni aache Hajj na atoe swadaqah kwa gharama za Hajj?
Jibu: Hili linategemea na kile ambacho haja inapelekea. Ikiwa watu wako katika haja ya swadaqah, basi swadaqah ni bora zaidi. Ikiwa hawako katika haja, basi Hajj ni bora zaidi.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (21/28)
- Imechapishwa: 08/05/2026
Swali 19: Ikiwa mtu amehiji mara nyingi, je, lililo bora ni aache Hajj na atoe swadaqah kwa gharama za Hajj?
Jibu: Hili linategemea na kile ambacho haja inapelekea. Ikiwa watu wako katika haja ya swadaqah, basi swadaqah ni bora zaidi. Ikiwa hawako katika haja, basi Hajj ni bora zaidi.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (21/28)
Imechapishwa: 08/05/2026
https://firqatunnajia.com/nihiji-tena-au-nimpe-gharama-za-hajj-ambaye-hajahiji/