Swali: Baadhi ya watu wanaamini kuwa ´Umrah ni jambo la wajibu juu ya kila muislamu katika Ramadhaan. Je, hili ni sahihi?
Jibu: Hili si sahihi. ´Umrah ni wajibu mara moja katika umri na halilazimiki zaidi ya hilo. ´Umrah ndani ya Ramadhaan inapendekezwa, kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Kufanya Hajj ndani ya Ramadhaan kunalingana na Hajj.”[1]
[1] al-Bukhaariy (1863).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (21/35)
- Imechapishwa: 08/05/2026
Swali: Baadhi ya watu wanaamini kuwa ´Umrah ni jambo la wajibu juu ya kila muislamu katika Ramadhaan. Je, hili ni sahihi?
Jibu: Hili si sahihi. ´Umrah ni wajibu mara moja katika umri na halilazimiki zaidi ya hilo. ´Umrah ndani ya Ramadhaan inapendekezwa, kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Kufanya Hajj ndani ya Ramadhaan kunalingana na Hajj.”[1]
[1] al-Bukhaariy (1863).
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (21/35)
Imechapishwa: 08/05/2026
https://firqatunnajia.com/ni-wajibu-kufanya-umrah-ndani-ya-ramadhaan/