Swali: Nikijua kuwa kuna mtu ambaye amechuma pesa kwa njia ya haramu na anataka kujikwamua na pesa hizo. Inajuzu kwangu kuchukua pesa hizo kwa ajili ya haja zangu?
Jibu: Ikiwa una haja hakuna neno. Hakuna tofauti kati yako wewe na wengine. Hazichukuliwi kwa kuzingatia kuwa ni swadaqah, zinachukuliwa kama pesa zisizokuwa na mmiliki ambazo zinatumiwa katika mambo ya manufaa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (5) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–01041434.mp3
- Imechapishwa: 07/11/2016
Swali: Nikijua kuwa kuna mtu ambaye amechuma pesa kwa njia ya haramu na anataka kujikwamua na pesa hizo. Inajuzu kwangu kuchukua pesa hizo kwa ajili ya haja zangu?
Jibu: Ikiwa una haja hakuna neno. Hakuna tofauti kati yako wewe na wengine. Hazichukuliwi kwa kuzingatia kuwa ni swadaqah, zinachukuliwa kama pesa zisizokuwa na mmiliki ambazo zinatumiwa katika mambo ya manufaa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (5) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–01041434.mp3
Imechapishwa: 07/11/2016
https://firqatunnajia.com/nichukue-pesa-zilizochumwa-kwa-njia-ya-haramu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)