Swali: Nikijua kuwa kuna mtu ambaye amechuma pesa kwa njia ya haramu na anataka kujikwamua na pesa hizo. Inajuzu kwangu kuchukua pesa hizo kwa ajili ya haja zangu?
Jibu: Ikiwa una haja hakuna neno. Hakuna tofauti kati yako wewe na wengine. Hazichukuliwi kwa kuzingatia kuwa ni swadaqah, zinachukuliwa kama pesa zisizokuwa na mmiliki ambazo zinatumiwa katika mambo ya manufaa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (5) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–01041434.mp3
- Imechapishwa: 07/11/2016
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)