Swali: Anayeshikamana na Sunnah barabara kama inavyotakikana kwa njia ya kwamba akafupisha nguo yake na akafuga ndevu zake, basi waislamu wengi wanasema kuwa ana msimamo mkali na mwenye kuchupa mipaka. Mtu ashike msimamo gani?
Jibu: Awapuuze. Awaeleze kuwa ni Sunnah na kuwaombea kwa Allaah awaongoze. Awazungumzishe kwa maneno mazuri. Awaombee kwa Allaah awaongoze na kuwaeleza kuwa ni Sunnah. Awafunze kwa dalili. Hawatomdhuru na asiwajali. Ni kama walivofanya wanafiki kwa watu wa Sunnah:
وَإِذَا مَرُّوا بِهِمْ يَتَغَامَزُونَ
”Na wanapowapitia [karibu yao], basi wanakonyezana.”[1]
[1] 83:30
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22640/كيف-يعامل-من-يصف-السنة-بالتشدد-والتزمت
- Imechapishwa: 11/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)