Swali: Ni sharti mtu aweke nia juu ya kila matumizi au atarajie malipo kutoka kwa Allaah?
Jibu:
”Hakika si venginevyo kila kitendo kinategemea na nia.”
Matendo yasiyokuwa na manuizi hayanufaishi.
Swali: Nakusudia kuwa ni imewekwa sharti mtu atarajie malipo juu ya kila matumzi au uwekaji wa nia ni mara moja?
Jibu: Hakuna haja wakati wa kutekeleza mambo ya wajibu. Atekeleze wajibu wake hata kama hakuweka nia.
Swali: Lakini anaandikiwa malipo ya swadaqah?
Jibu: Malipo ya swadaqah ni pale wakati wa kutarajia malipo kutoka kwa Allaah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21679/هل-تشترط-النية-والاحتساب-في-النفقة
- Imechapishwa: 11/09/2022
Swali: Ni sharti mtu aweke nia juu ya kila matumizi au atarajie malipo kutoka kwa Allaah?
Jibu:
”Hakika si venginevyo kila kitendo kinategemea na nia.”
Matendo yasiyokuwa na manuizi hayanufaishi.
Swali: Nakusudia kuwa ni imewekwa sharti mtu atarajie malipo juu ya kila matumzi au uwekaji wa nia ni mara moja?
Jibu: Hakuna haja wakati wa kutekeleza mambo ya wajibu. Atekeleze wajibu wake hata kama hakuweka nia.
Swali: Lakini anaandikiwa malipo ya swadaqah?
Jibu: Malipo ya swadaqah ni pale wakati wa kutarajia malipo kutoka kwa Allaah.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21679/هل-تشترط-النية-والاحتساب-في-النفقة
Imechapishwa: 11/09/2022
https://firqatunnajia.com/nia-juu-ya-matumizi-anayotoa-kuwapa-familia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)