Swali: Mwanaume akimtaliki mke wake mara tatu. Hivi sasa yuko katika eda. Je, abaki kwenye nyumba hiohio au atoke?
Jibu: Abaki kwenye nyumba hiohio, lakini avae Hijaab mbele yake na ajilinde nae:
لَا تُخْرِجُوهُنَّ مِن بُيُوتِهِنَّ وَلَا يَخْرُجْنَ
“Msiwatowe katika nyumba zao na wala wao wasitoke… “[1]
Abaki kwake na khaswa khaswa ikiwa ameshazaa nae watoto.
[1] 65:01
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (59) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-29-01-1438_0.mp3
- Imechapishwa: 03/11/2017
Swali: Mwanaume akimtaliki mke wake mara tatu. Hivi sasa yuko katika eda. Je, abaki kwenye nyumba hiohio au atoke?
Jibu: Abaki kwenye nyumba hiohio, lakini avae Hijaab mbele yake na ajilinde nae:
لَا تُخْرِجُوهُنَّ مِن بُيُوتِهِنَّ وَلَا يَخْرُجْنَ
“Msiwatowe katika nyumba zao na wala wao wasitoke… “[1]
Abaki kwake na khaswa khaswa ikiwa ameshazaa nae watoto.
[1] 65:01
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (59) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-29-01-1438_0.mp3
Imechapishwa: 03/11/2017
https://firqatunnajia.com/ni-wapi-mwanamke-anabaki-wapi-baada-ya-ile-talaka-ya-tatu/