Swali: Imamu anatakiwa kusimama vipi anapomswalia mwanaume, mwanamke na mtoto?
Jibu: Imamu anatakiwa kusimama usawa na kichwa cha mwanaume na usawa na kiuno cha mwanamke. Haya ni mamoja wakawa wakubwa au wadogo. Mtoto wa kiume mdogo imamu anatakiwa kusimama usawa na kichwa chake na mtoto wa kike mdogo imamu anatakiwa kusimama usawa na kiuno chake kama anavyofanya kwa mwanamke.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/102)
- Imechapishwa: 07/09/2021
Swali: Imamu anatakiwa kusimama vipi anapomswalia mwanaume, mwanamke na mtoto?
Jibu: Imamu anatakiwa kusimama usawa na kichwa cha mwanaume na usawa na kiuno cha mwanamke. Haya ni mamoja wakawa wakubwa au wadogo. Mtoto wa kiume mdogo imamu anatakiwa kusimama usawa na kichwa chake na mtoto wa kike mdogo imamu anatakiwa kusimama usawa na kiuno chake kama anavyofanya kwa mwanamke.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/102)
Imechapishwa: 07/09/2021
https://firqatunnajia.com/ni-wapi-imamu-anaposimama-pindi-anapomswalia-maiti-mwanaume-na-mwanamke/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)